Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Oktoba 20,2023.
Motsepe yuko nchini kushuhudia mchezo wa AFL kati ya Simba SC dhidi ya Al-Ahly Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam leo jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: