Wed, 11 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Pongezi za dhati kwa ushindi wa Stars hapo jana dhidi ya Guinea kwa goli 2 - 1katika mechi ya kuwania kufuzu mashindano ya Afcon 2025.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Pongezi za dhati kwa ushindi wa Stars hapo jana dhidi ya Guinea kwa goli 2 - 1katika mechi ya kuwania kufuzu mashindano ya Afcon 2025. Stars inashika nafasi ya pili kundi H wakiwa na alama 4 ambapo Nafasi ya kwanza inashikwa na DRC Congo akiwa na alama 6.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live