Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Real Madrid Florentino Pérez amekutana na wachezaji wake kueleke mechi yao ya Nusu Fainali ya Uefa Champions League dhidi ya Bayern Munich leo
Mechi itapigwa Santiago Bernabeu saa 4:00 usiku, BAADA ya kushuhudia mchezo wa kwanza huko Alianz Arena Ujerumani kumalizika kwa sare ya bao 2-2
Hapa bongo Rais wako hukutana na wachezaji?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live