Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Paris St-Germain Nasser Al-Khelaifi, anasema ana hamu kubwa ya kuendelea kumuona mshambuliaji Kylian Mbappe akiendelea kusalia kwenye kikosi cha mabingwa hao wa Ufaransa.
Al-Khelaifi anaamini Paris St-Germain bado ndio klabu bora kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ambaye kandarasi yake kwenye klabu hiyo inamalizika msimu wa majira ya joto.
Tayari kuna taarifa zinazosema kuwa Mbappe ameshamalizana na Real Madrid baada ya kumaliza Mkataba wake Juni Mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live