Sun, 2 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inaarifiwa kuwa Rais wa klabu ya PSG Nasser Al-Khelaifi bado hajaridhishwa na kitendo cha nyota wa klabu hiyo Kylian Mbappe kujiunga na Real Madrid kama mchezaji huru.
Inaarifiwa kuwa Rais wa klabu ya PSG Nasser Al-Khelaifi bado hajaridhishwa na kitendo cha nyota wa klabu hiyo Kylian Mbappe kujiunga na Real Madrid kama mchezaji huru. Kinachoonekana ni kuwa Rais huyo amekataa kumlipa Mbappe stahiki zake za zaidi ya Euro Milioni 80 ambao ni mshahara wake pamoja na Bonasi anazotakiwa kulipwa na klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live