Wed, 14 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Nigeria Bola Tinubu amewazawadia Nyumba wachezaji wa timu ya Taifa hilo "Super Eagles" baada ya kumaliza washindi wa pili wa fainali za mataifa ya Afrika zilizomalizika nchini Ivory Coast.
Rais wa Nigeria Bola Tinubu amewazawadia Nyumba wachezaji wa timu ya Taifa hilo "Super Eagles" baada ya kumaliza washindi wa pili wa fainali za mataifa ya Afrika zilizomalizika nchini Ivory Coast. Nyumba hizo zipo kwenye mji mkuu wa Nigeria, Lagos. Nigeria ilipoteza mchezo wa fainali kwa kufungwa goli 2-1 na wenyeji Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live