Timu ya Taifa ya Morocco kupitia kwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini (MFA)Fouzi Lekjaa, imeiambia klabu ya Bayern Munich itume timu ya madaktari nchini Ivory Coast ili kumtibia mchezaji Noussair Mazraoui.
Timu ya Taifa ya Morocco kupitia kwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini (MFA)Fouzi Lekjaa, imeiambia klabu ya Bayern Munich itume timu ya madaktari nchini Ivory Coast ili kumtibia mchezaji Noussair Mazraoui. Noussair Mazraoui anaichezea klabu na Bayern Munich ambapo wakati huu yupo katika mashindano ya AFCON 2023 ila kutokana na majeraha aliyopata Bayern Munich walitaka kumchukua mchezaji huyo wakamtibie Ujerumani ila Morocco wamekataa.