Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa La liga Javier Tebas anaamini winga wa PSG, Kylian Mbappé tayari amesaini Real Madrid
“Ninahisi Kylian Mbappé amesajiliwa Real Madrid. Atakuwa nyota mwingine kwenye La Liga kama Bellingham, Vinicius Jr, Griezmann, na Lewandowski."
"Madrid wamekuwa waangalifu sana kifedha na wamejiandaa kwa usajili wa Mbappe. Mkakati wao sio wa muda mfupi, Sio lazima wauze mtu yeyote ili kumudu Mbappe. Kwa kweli hawana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live