Mon, 29 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ametoa kwa pole kwa shabiki mmoja aliyefariki dunia jana wakati wa mchezo wa Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Yanga na USM Alger Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ametoa kwa pole kwa shabiki mmoja aliyefariki dunia jana wakati wa mchezo wa Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Yanga na USM Alger Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live