Sat, 21 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kushuhudia uzinduzi wa African Football League jana Oktoba 20 nchini Tanzania, Rais wa FIFA Gianni Infantino amewasili nchini Burundi kwa ziara ya kikazi.
Baada ya kushuhudia uzinduzi wa African Football League jana Oktoba 20 nchini Tanzania, Rais wa FIFA Gianni Infantino amewasili nchini Burundi kwa ziara ya kikazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live