Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais FIFA aipongeza Yanga

Infantino Yanga Rais FIFA aipongeza Yanga

Wed, 5 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ametuma salamu za pongezi kwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC 2023/2024 Klabu ya Young Africans.

Infantino amesema juhudi zao katika msimu mzima zimezaa matunda na kupata taji hilo muhimu huku akiwapongeza wanachama wote wa Klabu hiyo kwa mafanikio hayo.

Aidha amemshukuru Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia kwa kazi nzuri na kujitolea kwa maendeleo ya mpira wa miguu wa Tanzania.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: