Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa Rais wa nchi ya Cameroon Paul Biya ameamua kuingilia kati uteuzi wa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Cameroon.
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa Rais wa nchi ya Cameroon Paul Biya ameamua kuingilia kati uteuzi wa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Cameroon. Taarifa zinasema uteuzi wa kocha mpya hautamhusisha Rais wa sasa wa Shirikisho la soka nchini Cameroon (FECAFOOT) Samuel Eto'o hasa baada ya kufeli kwenye uteuzi wa kocha wa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live