Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC watacheza dhidi ya KMC katika mechi ya kwanza msimu wa 2023/24 katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Katika mechi ya mwisho timu hizo kukutana Yanga ilishinda bao 1-0 likifungwa na Clement Mzize.
Je Yanga wana kikosi cha kutetea tena Ubingwa, Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: