Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2023/24 linafunguliwa leo Agosti 15 kwa Michezo mitatu.
Michezo itakayopigwa leo ni;
Ihefu SC vs Geita Gold FC 16:00
Namungo FC vs JKT Tanzania 18:00
Dodoma FC vs Coastal Union FC 21:00
Klabu ya Yanga ndio Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu NBC baada ya kulinyakua msimu uliopita. Je Msimu huu watafanikiwa kulitetea?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live