Michuano ya hatua ya makundi ya klabu Bingwa Afrika inaendelea tena leo Machi 11, 2023 kwa mechi tatu za kuhitimisha raundi ya nne.
MAMELODI SUNDOWNS vs AL AHLY
Uwanja : Loftus Versfeld, Pretoria Muda: Saa 10:00 jioni
Mamelodi Sundowns (alama 7) ambayo ipo nafasi ya pili kwenye kundi B itakuwa mwenyeji wa Al Ahly (alama 4) ambayo ipo nafasi ya tatu huku timu zote zikihitaji ushindi ili kuwa nafasi nzuri ya kufuzu kwenda hatua ya robo fainali.
MSIMAMO KUNDI B
1. Al Hilal Pts- 9 2. Sundowns Pts- 7 3. Al Ahly Pts- 4 4. Cotonsport Pts- 0
Al Ahly ???????? imeshindwa kupata ushindi ikiwa ndani ya Ardhi ya Afrika Kusini katika mechi 13, sare 8 na vipigo 5.
MECHI ZINGINE #CAFCL
19:00 PETRO ATLETICO vs WYDAD AC
22:00 JS Kabylie vs AS Vita