Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

RASMI: Simba watuma maombi ya kumtaka Mayele

Mayele Benchikha A0000 RASMI: Simba watuma maombi ya kumtaka Mayele

Thu, 9 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Uongozi wa Simba rasmi umeingia katika rada za kumtaka kumsajili mshambuliaji wa Pyramids FC ya nchini Misri, Fiston Mayele.

Simba imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi chao, ili kifanye vema katika msimu ujao.

Mayele aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, ni kati ya wachezaji waliokuwepo katika mipango ya Simba katika msimu ujao.

"Tunaangalia uwezekano wa kumpata Fiston Mayele kwa mkopo kutoka Pyramids FC, tumeshatuma maombi Egypt."

Salim Abdallha 'Try Again' - Mwenyekiti wa Bodi ya Simba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live