Wed, 21 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, George Mpole amekamilisha dili la kujiunga na timu ya FC Saint-Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka miwili.
Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, George Mpole amekamilisha dili la kujiunga na timu ya FC Saint-Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka miwili. Mpole amejiunga na timu hiyo baada ya kuachana na Geita Gold aliyoitumikia msimu wa 2021/22.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live