Tue, 10 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa klabu za Chelsea na Real Madrid na timu ya Taifa ya Ubelgiji Eden Hazard ametangaza kustaafu kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka 32.
Mshambuliaji wa zamani wa klabu za Chelsea na Real Madrid na timu ya Taifa ya Ubelgiji Eden Hazard ametangaza kustaafu kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka 32. Sababu kubwa ya Hazard kustaafu mapema ni majeraha yanayomuandama mara kwa mara tangu alipotua kwenye viunga vya Santiago Bernabeu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live