Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Soka ya Geita Gold yenye Maskani yake Mkoani Geita imeshuka Daraja la Ligi Kuu Bara ikungana na Mtibwa Sugar.
Geita imekubali kichapo cha magoli 2-0 katika mchezo wa mwisho mbele ya Azam FC mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Nyankumbu.
Geita Gold imemaliza na alama 26 na hivyo kushuka daraja moja kwa moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live