Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imethibitisha kuachana na mshambuliaji wake raia wa Congo DR Makabi Lilepo ambaye amejiunga na klabu ya Valenciennes FC inayoshiriki Ligi daraja la pili Ufaransa.
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imethibitisha kuachana na mshambuliaji wake raia wa Congo DR Makabi Lilepo ambaye amejiunga na klabu ya Valenciennes FC inayoshiriki Ligi daraja la pili Ufaransa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live