Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka nchini Morocco wamefikia makubaliano na shirikisho la soka Duniani FIFA kuhusu tarehe rasmi ya michezo ya fainali za mataifa ya Afrika AFCON 2025.
Shirikisho la soka nchini Morocco wamefikia makubaliano na shirikisho la soka Duniani FIFA kuhusu tarehe rasmi ya michezo ya fainali za mataifa ya Afrika AFCON 2025. AFCON 2025 itakayofanyika nchini Morocco sasa itaanza rasmi July 23 - August 21, 2025 baada ya fainali za kombe la Dunia kwa klabu kutamatika ambazo zinaanza June 15 - July 13, 2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live