Mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani na klabu ya Real Madrid, Antonio Rüdiger ameamua kutoa fedha zake zote atakazozipata kwenye michuano ya Kombe la Dunia ili kufanikisha upasuaji wa watoto nchini Sierra Leone ambapo ni Nchi ya asili ya Mama yake Mzazi.
Mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani na klabu ya Real Madrid, Antonio Rüdiger ameamua kutoa fedha zake zote atakazozipata kwenye michuano ya Kombe la Dunia ili kufanikisha upasuaji wa watoto nchini Sierra Leone ambapo ni Nchi ya asili ya Mama yake Mzazi. Shukrani kubwa kwa familia ya @BigShoe_11 na madaktari wote ambao wamehusika kufanikisha hili tena nchini Sierra Leone. Tuwaombee watoto hawa ili waishi vizuri tena baada ya upasuaji. Mungu awabariki na kuwalinda," amesema Rüdiger.