Fri, 23 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu Wa Pyramids FC, Krunoslav Jurcic ameuambia Uongozi wa Pyramids kuwa ana malengo makubwa na Fiston mayele na kama watamuuza basi yeye pia ataondoka ndani ya Timu hiyo.
Familia ya Kaizer Motaung ambayo ndiyo wamiliki Wa Kaizer Chiefs walituma ofa Pyramids ya Tsh Billion 6.4 kumwitaji Mshambuliaji huyo kwa mapendekezo ya Kocha Nasreddine Nabi lakini ofa yao aikujadiliwa.
Mayele amebakiza mwaka Mmoja pekee Ndani ya Timu hiyo akiwa amefunga Magoli zaidi ya 20 kwenye mashindano yote ndani ya mwaka Msimu mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live