Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa kazi kutoka Mali, Sadio Kanoute (27) amebakisha miezi mitatu tu katika kandarasi yake na wekundu wa Msimbazi Simba.
Kanoute alijiunga na Club ya Sinba Agosti 20, 2021 akasaini miaka mitatu ambapo mkataba wake utaisha Juni 30, 2024.
Vipi Wanasimba apewe mkataba mwinhine mezani au aende?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live