Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wajela Jela Timu ya Tanzania Prisons wamemtambulisha kocha wao Mkuu Mpya raia wa Tanzania Hamad Ally.
Hamad Ally anaenda kuvaa viatu vya Fred Felix Minziro waliyeachana nae siku kadhaa zilizopita.
Hamad amewahi kuwa kocha msaidizi wa vilabu vya KMC ya Jijini Dar na Mbao FC ya Mwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: