Mon, 22 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tanzania Prison yenye maskani yake Jijini Mbeya imeachana na aliyekuwa Mlinda wake Benedictor Tinocco.
Klabu ya Tanzania Prison yenye maskani yake Jijini Mbeya imeachana na aliyekuwa Mlinda wake Benedictor Tinocco. Huku sababu ikiwa ni kuwa na kipindi kikubwa cha majeraha na kutokuwa katika mahesabu ya Mwalimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live