Thu, 3 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tanzania Prisons bado sana kurejea kwenye ubora kwa kuwa imeshinda mechi 3 ambazo ni dk 270 ndani ya ligi katika mechi 17 ilizocheza.
Jana Machi 2 iligawana pointi mojamoja na Mtibwa Sugar baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana mazima ikiwa na pointi 13 kibindoni.
Ipo nafasi ya 16 ikiwa imeruhudu jumla ya mabao 21 yakufungwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live