Wed, 12 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya jana kushambuliwa katika mtandao wa Instagram wa Manara Mtangazaji wa Kituo cha Clouds FM Prisca Kishamba ameamua kimtindo kulizima bifu lake na aliyekuwa msemaji wa Yanga Haji Manara.
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Prisca ameandika;
"Mwaka huu anatimiza miaka 50, Kama baba yangu Josephat kishamba angekua hai june 14 angetimiza miaka 51 hamuoni kama najibizana na baba yangu jamani? mwambieni baba sijapenda anachonifanyia nimeamua kumpa heshima yake ameshinda!"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live