Wed, 31 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Chelsea na Brighton Graham Potter huwenda akala kandarasi kuitumikia Crystal Palace.
Potter amekuwa na wakati mzuri akiwa na Brighton & Hove Albion kabla hajatimkia The Blues alipohudumu kwa muda mfupi na kuondoka.
Kwa sasa Potter hana kibarua tangu alipotimuliwa katika kikosi cha Chelsea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live