Klabu ya soka ya Polisi Tanzania imeendelea na utaratibu wake wa ‘kuicharura’ Yanga SC kuelekea mchezo wa leo wa Azam Sports Federation Cup utakaopigwa katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
Klabu ya soka ya Polisi Tanzania imeendelea na utaratibu wake wa ‘kuicharura’ Yanga SC kuelekea mchezo wa leo wa Azam Sports Federation Cup utakaopigwa katika dimba la Azam Complex, Chamazi. “Tumeshtuka waliogoma kudeka muda wao unakaribia, sasa niwajulishe tu kuwa tumeandaa ulinzi maalumu kwa ajili ya TAULO la golikipa wetu maana hawakawii kuliiba kama walivyozoea. Kila kona tupo makini” andiko la Polisi Tanzania