Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Polisi: Kama huna tiketi usionekane kwa Mkapa

Muliro Jumanne Marufuku Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro

Sat, 4 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema asiyekuwa na tiketi hataruhusiwa kusogelea uwanja au maeneo ya milango ya kuingia katika mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC utakaopigwa kesho Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema asiyekuwa na tiketi hataruhusiwa kusogelea uwanja au maeneo ya milango ya kuingia katika mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC utakaopigwa kesho Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live