Sat, 4 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema asiyekuwa na tiketi hataruhusiwa kusogelea uwanja au maeneo ya milango ya kuingia katika mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC utakaopigwa kesho Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema asiyekuwa na tiketi hataruhusiwa kusogelea uwanja au maeneo ya milango ya kuingia katika mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC utakaopigwa kesho Jumapili Novemba 5, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live