Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ametangaza hali ya tahadhari kwa timu zinazoshiriki ligi kuu nchini England.
Ambapo amedai kuwa msimu huu anataka kushinda makombe yote matatu "Treble" ambayo ni Kombe la Ligi Kuu, Kombe la FA na Kombe la Carabao.
"Nataka kushinda Kombe la Carabao, nataka kushinda Kombe la FA na ninataka kushinda Ligi ya Ligi kuu ya EPL, kisha tutaona kitakachotokea," Amesema Mauricio Pochettino
Mpaka hivi sasa Chelsea wapo nafasi ya 10 kwenye msimamo wa EPL.
Je, Unaamini watabeba Treble? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live