Mon, 8 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Chelsea Mauricio Pochettino ameelezea eneo la timu yake ambalo ni kikwazo kwa timu yake kupata ushindi
” Tumekuwa na kiwango cha chini kwa miezi michache iliyopita kwa kukosa muendelezo mzuri wa kiwango leo tunacheza vizuri kesho tunaharibu”
“ Hakuna beki ya timu inayoweza kuzuia sisi tusiwafunge ila shida hata tukifunga tumekosa ubora wa kuzuia lazima tufungwe tunaitaji kuboresha eneo hilo”...
Chanzo: www.tanzaniaweb.live