Sun, 14 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea wamefikia makubaliano kamili ya.uteuzi wa Mauricio Pochettino kama kocha mkuu mpya wa wa Chelsea kuanzia msimu ujao,
Klabu ya Chelsea wamefikia makubaliano kamili ya.uteuzi wa Mauricio Pochettino kama kocha mkuu mpya wa wa Chelsea kuanzia msimu ujao, Kocha huyo wa zamani wa Tottenham na PSG ataanza ukurasa mpya kama Kocha Mpya wa Chelsea kuanzia Juni mwaka huu huku Frank Lampard atasalia kuwa Kocha wa muda hadi mwisho wa msimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live