Sun, 5 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kufanikiwa kupenya hatua ya Robo fainali kwa kuitoa Timu ya JKT Tanzania kwa goli 1-0.
Kocha wa Singida Big Stars, Hans Pluijm amesema anatamani sana kukutana kati ya Yanga au Simba katika hatua ya Robo Fainali ASFC
“malengo yetu sisi ni kuchukua taji na ili ufanikiwe kwa hilo ni lazima ukutane na Simba, Yanga hivyo sisi tuko tayari kwa atakayekuja mbeleni.”
Singida Big Stars imepanda daraja msimu uliopita lakini imekuja vyema ikiwa inagomea kumaliza nafasi nne za juu kwa upande wa Ligi Kuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live