Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns ya Afrika ya Kusini Pitso Mosimane amezungumzia kuhusu klabu hiyo kutawala soka la Afrika Kusini lakini inashindwa kutawala soka la bara zima la Afrika.
Pitso Amesema:
"Ni jambo la muda tu, Mamelodi ni kama Manchester City ya Pep Guardiola, Ilichukua muda gani kwa Pep Kushinda ubingwa wa Uefa Champions League?"
"Naamini Mamelodi watashinda ubingwa kwa mara nyingine"
Hadi sasa Mamelodi wametwaa ubingwa wa CAF CHAMPIONS LEAGUE mara moja tu licha ya ubora mkubwa walionao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live