Kuelekea Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho kati ya RS Berkane na Zamalek CAF wamemteua Peter Waweru Kamaku mwenye miaka 40 Kutoka Kenya kuwa Mwamuzi Wa mchezo huo mechi itachezwa May 12.
Kuelekea Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho kati ya RS Berkane na Zamalek CAF wamemteua Peter Waweru Kamaku mwenye miaka 40 Kutoka Kenya kuwa Mwamuzi Wa mchezo huo mechi itachezwa May 12. Peter Waweru mbali na kuwa Mwamuzi Bora Kwa ukanda Wa Afrika mashariki lakini pia ana shaada ya Hisabati (pure mathematics) akiwa ni mwitimu katika chuo kikuu Cha Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology.