Wed, 31 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limemteua mwamuzi Beda Dahan kutoka Mauritania kusimamia Mchezo wa Fainali wa mkondo wa Pili wa kombe la Shirikisho Kati ya USM Alger Dhidi ya Yanga SC.
Atasaidiwa na mwamuzi Garson dos Sontos kutoka Angola na Arsenio Marangol kutoka Msumbiji.
Kwa upande wa Chumba Cha VAR kitasimamiwa na mwamuzi wa Misri Mahmoud Ashur na kusaidiwa na waamuzi wawili wa Misri, Muhammad Abdel-Sayed Hussein na Mahmoud Ahmed Abdel-Ragel.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: