Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mlinzi wake Inonga Baka atakaa nje takribani wiki mbili kutokana na jeraha la mkono aliolipata kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii Jijini Tanga, dhidi ya Singida Fountain Gate.
Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mlinzi wake Inonga Baka atakaa nje takribani wiki mbili kutokana na jeraha la mkono aliolipata kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii Jijini Tanga, dhidi ya Singida Fountain Gate. Inonga ambaye ni raia wa Congo DR aliumia wakati wa mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC katika Dimba la CCM Mkwakwani na kulazimika kutolewa nje kabla mchezo huo haujamalizika.