Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Picha ni Cristiano Ronaldo akimpatia Sadio Mane mpira ili apige penati kitu Ambacho kimevutia watu wengi sana.
Cristiano alikuwa na nafasi ya kuwa mfungaji bora wa Kombe la Saudi King's Cup kama angechagua kupiga penalti hiyo, lakini aliamua kumpa Sadio Mane kwa sababu alitaka Mane awe mfungaji bora kwenye kombe hilo.
Cristiano angefunga hat-trick pia kama angepiga penalti hiyo mwenyewe.
Al Nassr walishinda kwa jumla ya Magoli 3-1 Ronaldo, Sadio Mane la penati alivyopewa na Ronaldo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live