Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Red Arrows inakaribia kukamilisha usajili wa Peter Banda (23) kama mchezaji huru.
Banda ametua Lusaka hii leo Juni 3, 2024 na atafanyiwa vipimo ZAF Clinic kisha atasaini mkataba wa miaka miwili.
Red Arrows watacheza CAF CL msimu ujao, hivyo tutarajie kumuona Banda Ligi ya Mabingwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live