Tue, 19 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Kiungo wa ushambuliaji wa Klabu ya Simba SC, raia wa Malawi Peter Banda amejiunga na klabu ya Singida Fountain gate kwa kandarasi ya Miaka miwili akitokea Klabu ya Nyassa Big Bullets.
Aliyekuwa Kiungo wa ushambuliaji wa Klabu ya Simba SC, raia wa Malawi Peter Banda amejiunga na klabu ya Singida Fountain gate kwa kandarasi ya Miaka miwili akitokea Klabu ya Nyassa Big Bullets. Banda alikuwa Simba SC kabla ya kupewa mkono wa kwaheri baada ya kudumu kwa misimu miwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live