Fri, 6 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Kikosi cha Pep Guardiola kikijiandaa kwa safari kuwafata Arsenal Jumapili katika Uwanja wa Emirates.
Kocha Mkuu wa Man City, Pep Guardiola amesikitishwa na kitendo cha kumkosa kiungo wake Rodri anaetumikia adhabu ya kadi nyekundu.
Akizungumza katika Mkutanao na Waandishi wa Habari, Pep anasema
"Siwezi kukuambia jinsi ninavyohuzunishwa na kukosekana kwa Rodri kwenye mechi inayofuata ya Arsenal, lakini lazima nichukue hatua. Sasa yuko likizo na atarejea kwa Brighton..."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live