Wed, 26 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Master Mind Pep Guardiola kocha mkuu wa Man City amefunguka kuwa watamchagua nahodha mpya wa kikosi hicho pale watakaporejea Jijini Manchester baada ya Gundogan aliyekuwa nahodha kuondoka City na kutimkia Barcelona.
Master Mind Pep Guardiola kocha mkuu wa Man City amefunguka kuwa watamchagua nahodha mpya wa kikosi hicho pale watakaporejea Jijini Manchester baada ya Gundogan aliyekuwa nahodha kuondoka City na kutimkia Barcelona. Gundogan alikuwa Nahodha mkuu huku Kevin De Bruyne akiwa nahodha msaidizi ndani ya Kikosi cha Man City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live