Tue, 4 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester City imepata ushindi wake wa 100 katika EPL kwenye uwanja wa nyumbani chini ya Pep Guardiola, katika mechi yake ya 128 (W100 D16 L12).
Guardiola Ndiye Kocha aliyeshinda mechi 100 nyumbani haraka zaidi akiivunja rekodi ya Arsene Wenger ya kutumia mechi 139.
Rekodi hiyo imekuja baada ya kuitandika Liverpool mabao 4-1 mchezo wa Ligi Kuu wikiendi iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: