Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Manchester City Pep Guardiola amesema kwa kipindi chote alichokuwa England timu pekee inayompa changamoto ni Liverpool chini ya Klopp .
Kocha mkuu wa Manchester City Pep Guardiola amesema kwa kipindi chote alichokuwa England timu pekee inayompa changamoto ni Liverpool chini ya Klopp . “ Liverpool wamekuwa wapinzani wetu na Klopp amekuwa mpinzani wangu kwa muda mrefu , kwa ujumla wametupa changamoto na kutusaidia kuwa timu bora katika idara zote, hakuna timu nyingine iliyowahi kunipa changamoto katika kipindi changu hapa."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live