Thu, 6 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Real Madrid na Manchester City Manuel Pellegrini (69) raia wa Chile amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu ya Real Betis kwa miaka mitatu zaidi mpaka Juni 2026.
Kocha wa zamani wa Real Madrid na Manchester City Manuel Pellegrini (69) raia wa Chile amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu ya Real Betis kwa miaka mitatu zaidi mpaka Juni 2026. Pellegrini aliwahi kuinoa Klabu ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu ya England.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live