Thu, 22 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nguli wa soka Nchini Brazil, Pele ameripotiwa kuwa atasherehekea sikukuu ya Christmas akiwa hospitali baada ya tatizo lake la Saratani ya kuwa katika hali mbaya zaidi.
Nguli wa soka Nchini Brazil, Pele ameripotiwa kuwa atasherehekea sikukuu ya Christmas akiwa hospitali baada ya tatizo lake la Saratani ya kuwa katika hali mbaya zaidi. Pele (82), amekuwa akisumbuliwa na tatizo la saratani ya utumbo mpana tangu Septemba 2021 na amekuwa hospitalini tangu Novemba 29 kwa ajili ya madaktari kutathmini upya matibabu yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live