Baada ya kufungiwa kujihusisha na mpira wa miguu kwa kosa la kutumia dawa za kusisimua misuli ,Aliyewahi kuwa kiungo wa Man United na Juventus Paul Pogba sasa hivi amejikita kwenye sanaa ya uigizaji na mwakani 2025 movie yao inayoenda kwa jina la [ 4 Zeros ] itatoka na Pogba atakuwa sehemu ya waigizaji
Baada ya kufungiwa kujihusisha na mpira wa miguu kwa kosa la kutumia dawa za kusisimua misuli ,Aliyewahi kuwa kiungo wa Man United na Juventus Paul Pogba sasa hivi amejikita kwenye sanaa ya uigizaji na mwakani 2025 movie yao inayoenda kwa jina la [ 4 Zeros ] itatoka na Pogba atakuwa sehemu ya waigizaji