Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa Klabu ya Simba, Azam FC na Singida Fountain Gate FC Sergie Pascal Wawa ni miongoni mwa Washiriki wa Kozi ya ukocha ya Grassroots.
Nyota wa zamani wa Klabu ya Simba, Azam FC na Singida Fountain Gate FC Sergie Pascal Wawa ni miongoni mwa Washiriki wa Kozi ya ukocha ya Grassroots. Kozi hiyo inaendelea ikishirikisha makocha 42 chini ya uratibu wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Ilala (IDFA).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live